SALAMU ZENU KUTOKA KWA STRAIKA MPYA MGHANA WA AZAM
Mshambuliaji mpya Mghana wa Azam, Bernard Arthur akifumua shuti kufunga katika mchezo wa kirafiki juzi dhidi ya Villa Squad Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Bernard Arthur anakimbia kushangilia baada ya kufunga Jumamosi
Bernard Arthur ambaye alifunga mabao mawili katika ushindi wa 7-1 juzi, hapa anashangilia na Mghana mwenzake, beki Daniel Amoah
0 comments:
Post a Comment