Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kufunga hat-trick yake ya saba katika Ligi Kuu ya England katika ushindi wa Tottenham Hotspur wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley usiku wa Jumamosi Uwanja wa Turf Moor. Kane alifunga mabao hayo dakika za saba kwa penalti, 69 na 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment