Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Tiger Woods to Get $100M PGA Tour Equity Payout; Rory McIlroy Could
Get $50M
-
Tiger Woods will receive "up to $100 million," while Rory McIlroy could get
$50 million as equity payments from the PGA Tour after neither golfer
joined Sa...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment