Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment