Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
VIDEO: Watch highlights of Hearts of Oak’s 2-1 win over Bechem United to win the MTN FA Cup
-
Hearts of Oak defeated Bechem United 2-1 to defend their MTN FA Cup trophy
at the Baba Yara Sports Stadium.Emmanuel Avornyo struck the first goal for
Beche...
Dakika 34 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni