Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi kikamilifu na timu yake jana baada ya kufanya peke yake mazoezi mepesi Jumatano na Alhamisi kutokana na maumivu aliyoyapata kwenye fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia wakiifunga 1-0 Gremio mjini Abu Dhabi wiki iliyopita. Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Barcelona leo jiioni Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Henderson's shock England recall 'a great move', claims Jordan
Pickford - as ex-Liverpool captain backed to add leadership to Three Lions
-
JAMES SHARPE: New England boss Tuchel has been impressed with Henderson
since his move to Dutch side Ajax and hailed the 'character, personality
and energy...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment