Roberto Firmino akiifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 71 ikitoa sare ya 3-3 na wenyejin Arsenal Uwanja wa Emirates usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Liverpool walianza vizuri na kuongoza kwa mabao 2-0 ya Philippe Coutinho dakika ya 26 na Mohamed Salah dakika ya 52, kabla ya Arsenal kutoka nyuma na kuongoza kwa 3-2 kwa mabao ya Alexis Sanchez dakika ya 53, Granit Xhaka dakika ya 56 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 day to the World Cup: How host nations have fared in the quadrennial
tournament
-
Host countries have seen mixed results of late compared to the successes in
early tournaments.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment