Roberto Firmino akiifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 71 ikitoa sare ya 3-3 na wenyejin Arsenal Uwanja wa Emirates usiku wa Ijumaa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Liverpool walianza vizuri na kuongoza kwa mabao 2-0 ya Philippe Coutinho dakika ya 26 na Mohamed Salah dakika ya 52, kabla ya Arsenal kutoka nyuma na kuongoza kwa 3-2 kwa mabao ya Alexis Sanchez dakika ya 53, Granit Xhaka dakika ya 56 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jackson Topine: Footy star 'has a secret weapon' in $4million lawsuit
against his club for allegedly making 35 of his teammates assault him until
he couldn't stand
-
News of the bombshell legal action sent shockwaves through the NRL on
Wednesday - and now the man at the centre of the storm, Jackson Topine,
reportedly ha...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment