Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akipiga kichwa huku kipa wa Reha, Idrissa Ramadhani akiruka kuokoa katika mchezo wa hatua ya 64 Bora michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru mjini Sar es Salaam
Kiungo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akifanya mambo adimu uwanjani jana
Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimtoka Sylvanus Sostenes wa Reha
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akipenyeza pasi jana
Kiungo 'fundi'na anayejituma wa Yanga, Pius Buswita akijaribu kumpita mchezaji wa Reha
Kiungo wa Yanga, Yussuf Mhilu akimiliki mpira mbele ya beki wa Reha, Zuberi Ubwa
Kiungo chipukizi mtaalamu wa Yanga, Mussa Said 'Ronaldo' akimpita beki wa Reha, Jaffar Athumani
Kocha Msaidizi wa Yanga, Nsajigwa Shadrack (kulia) akimpa maelekezo kiungo wake, Emmanuel Martin jana
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Reha FC katika mchezo wa jana
Revealed: Vincent Kompany called referee Darren England a 'f*****g cheat'
multiple times in furious tirade at official after he gave Chelsea a
penalty against Burnley in 2-2 draw last month
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: Kompany was fined £10,000 and handed a two-match
touchline ban - with one of the games suspended - following the explosive
outbur...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment