• HABARI MPYA

    Monday, December 25, 2017

    YANGA NA REHA FC KATIKA PICHA JANA UHURU

    Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akipiga kichwa huku kipa wa Reha, Idrissa Ramadhani akiruka kuokoa katika mchezo wa hatua ya 64 Bora michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru mjini Sar es Salaam 
    Kiungo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akifanya mambo adimu uwanjani jana 
    Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimtoka Sylvanus Sostenes wa Reha
    Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akipenyeza pasi jana
    Kiungo 'fundi'na anayejituma wa Yanga, Pius Buswita akijaribu kumpita mchezaji wa Reha
    Kiungo wa Yanga, Yussuf Mhilu akimiliki mpira mbele ya beki wa Reha, Zuberi Ubwa
    Kiungo chipukizi mtaalamu wa Yanga, Mussa Said 'Ronaldo' akimpita beki wa Reha, Jaffar Athumani 
    Kocha Msaidizi wa Yanga, Nsajigwa Shadrack (kulia) akimpa maelekezo kiungo wake, Emmanuel Martin jana 
    Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
    Kikosi cha Reha FC katika mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA REHA FC KATIKA PICHA JANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top