Mashabiki timu za Partizan na Red Star wakiwa vifua wazi wanavuja damu usiku wa jana Uwanja wa Partizana kwenye mechi ya ya Ligi Kuu ya Serbia baina ya mahasimu wa Jiji la Belgrade iliyomalizika kwa sare ya 1-1. Chanzo cha vurugu hizo ni mashabiki wageni kuuziwa tiketi za kwenda kuketi kwenye majukwaa ya wenyeji na ndipo wakaanza kupigana hadi Polisi kuingilia, huku watu wengi wakijeruhiwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Sydney Rabbitohs 12-42 Penrith Panthers: New coach, same problems for
Bunnies in another miserable night
-
The last-placed Rabbitohs ushered in the post-Jason Demetriou era on
Thursday night but it was a case of new coach, same old Souths before 8155
fans at Acc...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment