Mashabiki timu za Partizan na Red Star wakiwa vifua wazi wanavuja damu usiku wa jana Uwanja wa Partizana kwenye mechi ya ya Ligi Kuu ya Serbia baina ya mahasimu wa Jiji la Belgrade iliyomalizika kwa sare ya 1-1. Chanzo cha vurugu hizo ni mashabiki wageni kuuziwa tiketi za kwenda kuketi kwenye majukwaa ya wenyeji na ndipo wakaanza kupigana hadi Polisi kuingilia, huku watu wengi wakijeruhiwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jockey at centre of Cheltenham spat accuses rival of 'racially abusing' him
after TV cameras caught foul-mouthed tirade in furious row
-
DOMINIC KING: The British Horseracing Authority are investigating an
allegation of racism after a televised spat between two jockeys on the
second day of t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment