Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau akiwa haamini macho yake baada ya Green Warriors ya Daraja la Pili kuivua ubingwa wa Azam Sports Federation Cup Simba SC, timu aliyowahi kuichezea enzi zake kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam usiku wa jana
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy akiwa mwenye huzuni jana Chamazi
Wapenzi wa Simba wakiwa hawaamini macho yao juu ya kilichotokea jana
Shabiki huyu aliamua kupambana na hali yake kwa kujilazimisha kufurahi mbele ya kamera
Mabosi wa Azam TV, wadhamini wa michuano hiyo, Patrick Kahemele (kulia) ambaye pia ni Katibu wa zamani wa Simba na Yahya Mohmmed wakifuatilia mchezo huo
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
12 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment