Kiungo wa Simba, Shiza Kichuya akipasua katikati ya mabeki wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Simba ilishinda 1-0
Shiza Kichuya akipambana na Lambert Sibiyanka wa Tanzania Prisons
Lambert Sibiyanka wa Tanzania Prisons akimiliki mpira mbele ya Erasto Nyoni wa Simba
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akimtoka Nurdin Chona wa Tanzania Prisons
Kikosi cha Tanzania Prisons katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana





0 comments:
Post a Comment