Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
CAF Confederation Cup: Dreams FC coach Karim Zito blames inexperience for
Zamalek defeat
-
Dreams FC coach, Abdul Karim Zito believes his team suffered from
inexperience during the 3-0 defeat to Zamalek in the semi-final of the CAF
Confederation ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment