Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment