Kocha wa Azam FC, Aristica Cioaba akifundisha kwa mifano wakati wa mazoezi ya timu yake jana mjini Njombe kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Njombe Mji FC Uwanja wa Aaba Saba
Mshambuliaji chipukizi, Mbaraka Yusuph akimiliki mpira wakati wa mazoezi hayo
Kiungo Mghana, Enock Atta-Agyei akimiliki mpira wakati wa mazoezi
Kiungo Frank Domayo akimiliki mpira wakati wa mazoezi hayo
Beki David Mwantika akimiliki mpira wakati wa mazoezi hayo
Wachezaji wa muda mrefu wa Azam, beki Aggrey Morris (kushoto) na kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia)
Nestory Irankuna's final match ahead of Bayern Munich move ends with a
whimper as Central Coast Mariners are crowned A-League premiers
-
The Central Coast Mariners were crowned premiers of A-League Men for the
first time in 12 years after defeating United 2-0 on home turf on Wednesday
night.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment