Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL axes Appeals Board chair in explosive fallout from Lance Collard
homophobic slur verdict
-
AFL boss Andrew Dillon has fired back at a controversial decision from the
code's appeals board to reduce a player's suspension by seven weeks
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment