Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Noni Madueke's energy sparked Chelsea's comeback while
Mykhailo Mudryk continued to frustrate... but which Blues defender had a
WORSE night with a 5/10 display?
-
Chelsea saw a last-gasp winner ruled out as they staged a second-half
fightback at Aston Villa to salvage a point. Mail Sport's DAN DAVIS has
rated the pla...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment