Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Shock Jannik Sinner health rumour sweeps the Australian Open - and it could
have a HUGE effect on his clash with Alex de Minaur
-
Sinner was caught in worrying scenes as he shook uncontrollably during his
win over Holger Rune on Monday - leading to talk that he is hiding a
serious hea...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment