Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Jamie O'Hara calls for 'fraud' Igor Tudor to be SACKED after 'disgraceful'
Champions League defeat by Atletico Madrid - as former Spurs star walks off
air AGAIN after being brutally mocked by Jason Cundy on talkSPORT
-
Co-host and former Chelsea player Cundy opted not to show mercy towards
O'Hara, donning a mask of former Spurs boss Ange Postecoglou while laughing
in the ...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment