Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Crystal Palace fans clash with rival supporters in violent scenes as riot
police step in ahead of Conference League final in Germany
-
WILL PICKWORTH IN LEIPZIG: Thousands of Crystal Palace and Rayo Vallecano
fans have travelled to Leipzig ahead of the final on Wednesday.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment