• HABARI MPYA

    Sunday, October 08, 2017

    MATUIDI AFUNGA BAO PEKEE UFARANSA YAWAPIGA 1-0 BULGARIA

    Blaise Matuidi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao pekee la ushidi dakika ya tatu tu ikiwalaza wenyeji Bulgaria 1-0 usiku wa jana katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika Uwanja wa Vasil Levski mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATUIDI AFUNGA BAO PEKEE UFARANSA YAWAPIGA 1-0 BULGARIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top