Nahodha wa Uholanzi, Arjen Robben akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Belarus, Sergei Balanovich katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia kwa upande wa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Borisov Arena mjini Borisov. Uholanzi ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Davy Propper dakika ya 24, Arjen Robben kwa penalti dakika ya 84 na Memphis Depay dakika ya 90 wakati la wenyeji lilifungwa na Maksim Volodko dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Court reserves judgment on final forfeiture of Malami-linked properties
-
Abuja Federal High Court fixes July 2, 2026 for judgment on EFCC’s bid to
secure final forfeiture of 57 properties allegedly linked to ex-AGF
Abubakar Ma...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment