Nahodha wa Uholanzi, Arjen Robben akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Belarus, Sergei Balanovich katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia kwa upande wa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Borisov Arena mjini Borisov. Uholanzi ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Davy Propper dakika ya 24, Arjen Robben kwa penalti dakika ya 84 na Memphis Depay dakika ya 90 wakati la wenyeji lilifungwa na Maksim Volodko dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce and Taylor Swift 'are heading to the Miami Grand Prix with
Patrick and Brittany Mahomes this weekend'... with the couples set for
another double date after hitting the Las Vegas strip last Saturday
-
Travis Kelce and Taylor Swift will reportedly head to the Miami Grand Prix
this weekend, with the power couple set for another double date with
Patrick and...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment