Asier Illarramendi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao pekee Hispania dakika ya 76 katika ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Israel usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Teddi Malcha mjini Jerusalem. Hispania tayari imefuzu Kombe l Dunia mapema kabla ya mchezo huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Ryan Garcia Tests Positive for PED amid Upset Win in Fight vs.
Devin Haney
-
Ryan Garcia reportedly tested positive for the banned performance-enhancing
drug ostarine after taking a Voluntary Anti-Doping Association test related
to ...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment