Asier Illarramendi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao pekee Hispania dakika ya 76 katika ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Israel usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Teddi Malcha mjini Jerusalem. Hispania tayari imefuzu Kombe l Dunia mapema kabla ya mchezo huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump sends astonishing warning to Iran soccer team ahead of World
Cup
-
Iran has qualified for this summer's soccer showpiece, which is being
co-hosted by the United States, Canada and Mexico.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment