Asier Illarramendi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao pekee Hispania dakika ya 76 katika ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Israel usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Teddi Malcha mjini Jerusalem. Hispania tayari imefuzu Kombe l Dunia mapema kabla ya mchezo huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zayn Malik responds to claims he lashed out at fans
-
The former One Direction star has hit back at accusations that he
aggressively shouted at a group of fans as he exited the hotel on Sunday.
According to fo...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment