Asier Illarramendi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao pekee Hispania dakika ya 76 katika ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Israel usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Teddi Malcha mjini Jerusalem. Hispania tayari imefuzu Kombe l Dunia mapema kabla ya mchezo huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo's £61MILLION private jet is 'grounded' at Manchester
Airport - after a 'crack is discovered in the window of the luxury plane'
-
Ronaldo's £61million aircraft arrived at Manchester Airport on Friday and
was still on the ground on Tuesday afternoon having reportedly suffered a
technic...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment