James McClean wa Jamhuri ya Ireland akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 57 ikiwalaza wenyeji, Wales 1-0 katika mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika jana Uwanja wa Cardiff City mjini Cardiff. Na kwa ushindi huo, Wales inafuzu Kombe la Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Team news: Unchanged for third game in a row
-
Find out who Mikel Arteta and Andoni Iraola have selected for this
afternoon's Premier League game at Emirates Stadium
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment