Wachezaji wa Italia wakifurahia baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Albania usiku wa jana Uwanja wa Loro Borici mjini Shkoder kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi, bao pekee la Antonio Candreva dakika ya 73. Hata hivyo, Itali italazimika kucheza mechi mbili za mchujo kuwania nafasi ya kwend Urusi, baada uya kumaliza nafasi ya pilki kwenye Kundi lake nyuma ya Hispania wanaofuzu moja kwa moja. The Azzuri watawajua wapinzani wao katika ratiba itakayopangwa Jumanne mjini Zurich, Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment