Wachezaji wa Italia wakifurahia baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Albania usiku wa jana Uwanja wa Loro Borici mjini Shkoder kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi, bao pekee la Antonio Candreva dakika ya 73. Hata hivyo, Itali italazimika kucheza mechi mbili za mchujo kuwania nafasi ya kwend Urusi, baada uya kumaliza nafasi ya pilki kwenye Kundi lake nyuma ya Hispania wanaofuzu moja kwa moja. The Azzuri watawajua wapinzani wao katika ratiba itakayopangwa Jumanne mjini Zurich, Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak coach provides update on Glid Otanga ahead of Berekum Chelsea
clash following nose injury
-
Hearts of Oak assistant coach Abdul Rahim Bashiru has provided an update on
midfielder Glid Otanga's injury following a collision in their recent match
aga...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment