Mashujaa wa hat-trick, Romelu Lukaku na Thomas Meunier wakipongezana baada ya kazi nzuri kwenye ushindi wa 9-0 wa Ubelgiji dhidi ya Gibraltar usiku wa jana katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Maurice Dufrasne mjini Liege, Ubelgiji. Lukaku alifunga dakika za 21, 38 na 84 kwa penalti, wakati na Meunier alifunga dakika za 18, 60 na 67 wakati mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Deren Ibrahim aliyejifunga dakika ya 15, Axel Witsel dakika ya 27 na Eden Hazard dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah's outburst at Jurgen Klopp will set alarm bells ringing with
Liverpool's owners and incoming boss Arne Slot... the Reds star must
apologise to avoid the conclusion the end is near amid Saudi interest
-
No stars did stop for a chat about incoming boss Arne Slot, clearly under
instruction, but less than 10 words from Salah made bigger waves worldwide
than a...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment