Mashujaa wa hat-trick, Romelu Lukaku na Thomas Meunier wakipongezana baada ya kazi nzuri kwenye ushindi wa 9-0 wa Ubelgiji dhidi ya Gibraltar usiku wa jana katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Maurice Dufrasne mjini Liege, Ubelgiji. Lukaku alifunga dakika za 21, 38 na 84 kwa penalti, wakati na Meunier alifunga dakika za 18, 60 na 67 wakati mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Deren Ibrahim aliyejifunga dakika ya 15, Axel Witsel dakika ya 27 na Eden Hazard dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
East end of Vancouver's False Creek cleared of boats ahead of World Cup
-
False Creek, east of the Cambie Bridge, has been cleared of virtually all
pleasure craft and passenger vessels under an interim order from Transport
Canada...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment