Wachezaji wa Manchester City wakishangilia bao lao la nne katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji West Ham United usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la FA Raundi ya Tatu Uwanja wa London. Mabao ya City yalifungwa na Yaya Toure dakika ya 33 kwa penalti, Havard Nordtveit aliyejifunga dakika ya 41, David Silva dakika ya 43, Sergio Aguero dakika ya 50 na John Stones dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest man, 43, after shocking moment a teenage linesman is 'PUNCHED
to the floor by a staff member' in a sudden mid-game attack
-
Footage caught the moment a young player, who had volunteered to be the
linesman in the game, appeared to be punched in the face by a staff member
from a r...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment