Mjamaica Usain Bolt na Mhabeshi Almaz Ayana wakiwa wameshikilia tuzo zao za Wanariadha Bora wa kiume na wa kike wa Mwaka kutoka Shirikisho la Kimataifa la Riadha (IAAF) baada ya kukabidhiwa jana mjini Monaco, Ufaransa. Usain Bolt alitwaa Medali yake ya tisa ya Dhahabu ya Olimpiki baada ya kutwaa tena mjini Rio mwaka huu na sasa kijana huyo wa umri wa miaka 30 atastaafu mwakani baada ya michuano ya Dunia, akikimbia mbio za mita 100 na relay ya 4x100 katika msimu wake wa mwisho. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Kevin Durant 'Never Felt Comfortable' With Role in Vogel's Suns
Offense
-
The 2023-24 Phoenix Suns will go down as one of the most expensive
disappointments in NBA history, and Kevin Durant may want changes heading
into next seas...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment