Mjamaica Usain Bolt na Mhabeshi Almaz Ayana wakiwa wameshikilia tuzo zao za Wanariadha Bora wa kiume na wa kike wa Mwaka kutoka Shirikisho la Kimataifa la Riadha (IAAF) baada ya kukabidhiwa jana mjini Monaco, Ufaransa. Usain Bolt alitwaa Medali yake ya tisa ya Dhahabu ya Olimpiki baada ya kutwaa tena mjini Rio mwaka huu na sasa kijana huyo wa umri wa miaka 30 atastaafu mwakani baada ya michuano ya Dunia, akikimbia mbio za mita 100 na relay ya 4x100 katika msimu wake wa mwisho. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs PSG - Champions League LIVE: Latest score, team news and
updates as Ousmane Dembele twists the knife for the visitors minutes after
Reds' penalty shout is overturned - and comeback hopes disintegrate at
Anfield
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool host PSG at Anfield in the second leg of their
Champions Leagu...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment