Kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic akitelezea miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kuondosha mpira huku akisaidiwa na mchezaji mwenzake, Luka Modric kumdhibiti Muargentina huyo katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Luis Suarez dakika ya 53 kabla ya Sergio Ramos kuisawazishia Real dakika ya mwisho katika mtanange wa El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment