Kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic akitelezea miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kuondosha mpira huku akisaidiwa na mchezaji mwenzake, Luka Modric kumdhibiti Muargentina huyo katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Luis Suarez dakika ya 53 kabla ya Sergio Ramos kuisawazishia Real dakika ya mwisho katika mtanange wa El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs PSG - Champions League LIVE: Latest score, team news and
updates as Ousmane Dembele twists the knife for the visitors minutes after
Reds' penalty shout is overturned - and comeback hopes disintegrate at
Anfield
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool host PSG at Anfield in the second leg of their
Champions Leagu...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment