Kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic akitelezea miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kuondosha mpira huku akisaidiwa na mchezaji mwenzake, Luka Modric kumdhibiti Muargentina huyo katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Luis Suarez dakika ya 53 kabla ya Sergio Ramos kuisawazishia Real dakika ya mwisho katika mtanange wa El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Onana costs Man Utd as Burnley grab draw
-
Keeper Andre Onana costs Manchester United victory as Zeki Amdouni converts
a late penalty to earn a point for relegation-threatened Burnley.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment