Mshambuliaji wa Porto FC, Andre Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Leicester City usiku wa jana Uwanja wa Do Dragao mjini Porto katika mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya Porto yalifungwa na Andre Silva mawili dakika ya sita na 64 kwa penalti, Jesus Corona dakika ya 26, Yacine Brahimi dakika ya 44 na Diogo Jota dakika ya 77 na pamoja na kufungwa, Leicester imemaliza kileleni kwa pointi zake 13 dhidi ya 11 za vigogo wa Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
N300m criminal eviction: Court issues fresh bench warrant, orders security
agencies to arrest police officer
-
Justice Samira Bature of the FCT High Court, Maitama, Abuja, has issued a
fresh bench warrant directing all law enforcement agencies to arrest a
police o...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment