Mshambuliaji Mfaransa wa Real Madrid, Karim Benzema akijipinda kupiga kichwa cha nguvu kuifungia timu yake bao kufuatia krosi ya James Rodriguez katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Benzema alifunga mabao yote ya Real dakika za 28 na 53 wakati ya Borussia Dortmund yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 60 na Marco Reus dakika ya 88 na kwa matokeo hayo, timu ya Ujerumani inamaliza kileleni kwa pointi zake 14 ikiizidi pointi mbili timu ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment