Mshambuliaji Mfaransa wa Real Madrid, Karim Benzema akijipinda kupiga kichwa cha nguvu kuifungia timu yake bao kufuatia krosi ya James Rodriguez katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Benzema alifunga mabao yote ya Real dakika za 28 na 53 wakati ya Borussia Dortmund yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 60 na Marco Reus dakika ya 88 na kwa matokeo hayo, timu ya Ujerumani inamaliza kileleni kwa pointi zake 14 ikiizidi pointi mbili timu ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TAKING THE MIC: With a dad like Open Goal's Si Ferry, it's little wonder
Frankie Ferry likes to talk... but despite his tender years, this budding
commentator isn't afraid to tell it like it is
-
Thirteen-year-old Frankie Ferry is in a cafe in the East End of Glasgow,
sitting across the table from his dad and podcast pioneer Si who he's
followed int...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment