Nyota wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za nane na 90 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Mainz jana usiku kwenye mchezo wa Bundesliga. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Arjen Robben dakika ya 21, wakati la wenyeji lilifungwa na Jhon Cordoba dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment