Nyota wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za nane na 90 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Mainz jana usiku kwenye mchezo wa Bundesliga. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Arjen Robben dakika ya 21, wakati la wenyeji lilifungwa na Jhon Cordoba dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akwa Ibom: Eno receives first batch of 20 CNG buses
-
Akwa Ibom State Governor, Pastor Umo Eno has received the first batch of
Compressed Natural Gas (CNG) buses in the State as a major step towards
transfor...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment