Mshambuliaji Kelechi Iheanacho (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City, Leroy Sane na Nolito baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Celtic kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Patrick Roberts alianza kuwafungia Man City dakika ya nne na kwa matokeo hayo City inamaliza nafasi ya pili nyuma ya Barcelona na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiments – PDP
candidate
-
2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiments - PDP
candidate
The post 2027: Ebonyi governorship about service delivery, not sentiment...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment