Kieran Gibbs (katikati), akiwa na shujaa wa mabao matatu ya Arsenal, Lucas Perez (kushoto) katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, FC Basle usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park mjini Basel kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi, wakati la wenyeji lilifungwa na Seydou Doumbia na kwa matokeo hayo The Gunners wanamaliza kileleni kwa pointi zao 14, mbili zaidi ya PSG waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest vs Man City - Premier League: Live score, team news and
updates as Pep Guardiola's side need a win to close the gap to league
leaders Arsenal
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Nottingham Forest host Manchester City at the City Ground in Sunday
evening's ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment