Kieran Gibbs (katikati), akiwa na shujaa wa mabao matatu ya Arsenal, Lucas Perez (kushoto) katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, FC Basle usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park mjini Basel kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi, wakati la wenyeji lilifungwa na Seydou Doumbia na kwa matokeo hayo The Gunners wanamaliza kileleni kwa pointi zao 14, mbili zaidi ya PSG waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Exactly what Harry Maguire said to fourth official in eight-word
f-bomb tirade to be slapped with extra one-game ban for Man United's trip
to Chelsea
-
The reasons why Harry Maguire has been given an extra one-game ban
following his red card at Bournemouth last month can be revealed, after the
FA released ...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment