Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akishangilia na Cesc Fabregas baada ya kufunga bao pekee dakika ya 76 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya West Brom 1-0 mchana wa leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea inarejea kileleni kwa ushindi huo ikifikisha pointi 37, tatu zaidi ya Arsenal baada ya timu zote kucheza mechi 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC's Jon Jones Says Potential Alex Pereira Fight Would Be Biggest 'in MMA
History'
-
Even though Jon Jones still has a bout with Stipe Miocic that will likely
happen at some point, the UFC heavyweight champion also has his sights set
on Alex…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment