Pierre-Emerick Aubameyang (kulia) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Borussia Dortmund bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na wenyeji, Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Bundesliga dakika ya 48 Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim. Bao lingine Dortmund iliyocheza pungufu baada ya Marco Reus kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41, lilifungwa na Mario Gotze dakika ya 11 wakati ya Hoffenheim yalifungwa na Mark Uth dakika ya tatu na Sandro Wagner dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristian Romero, Micky van de Ven and Xavi Simons gone, the rivals ready to
poach their young stars, a £250m black hole and why promotion will be an
uphill battle: This is what will happen if Tottenham get relegated
-
None of Spurs' players want to play second-tier football. They will think
they are elite players with international careers, image rights and sponsor
deals...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment