Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 42 na Alex Iwobi dakika ya 75, wakati la Stoke lilifungwa na Charlie Adam dakika ya 29 kwa penalti baada ya Granit Xhaka kumchezea rafu Joe Allen kwenye boksi matokeo hayo yanaipandisha kileleni The Gunners kwa kufikisha pointi 34 sawa na Chelsea yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment