BAADA ya mfululizo wa matukio ya kuposti noti za dola za Kimarekani, bondia ambaye hajawahi kupoteza pambano, Floyd Mayweather sasa amekuja na mpya.
Leo babe huyo mwenye umri wa miaka 37, ameposti video na 'mad emu' 10 waliovalia 'ichi ichi wakimkatia mauno nyumbami kwake.
Bingwa huyo wa mataji ya dunia ya WBC na WBA uzito wa Welter, ameposti video hiyo akiambatanisha na ujumbe usemao: "Kama MUNGU ameumba kitu kingpin kizuri zaidi ya mwanamke, sikihitaji,#mrmylifeisthes*** #tmt #tmg".
Bondia Floyd Mayweather (nyuma katikati ameipa mgongo kamera) akiwatazama wanawake 10 wakicheza dans nyumbani kwake
Wanawake hao waliokuwa wamevalia 'ichi uchi', wamechukuliwa kwenye video ya sekunde 15 na Mayweather ambaye ameiposti kwenye Instagram
Binti mmoja amegeuka kujichekesha kwa Mayweather wakati akidansi na wenzake tisa
Mayweather naye amerap katika video hiyo
0 comments:
Post a Comment