MSHAMBULIAJI wa Ureno, Cristiano Ronaldo sasa ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi kwenye historia ya michuano ya Ulaya kufuatia bao lake la dakika ya 71 dhidi ya Armenia jana.
Akiwa amefikisha mabao 23 kwenye mechi za kufuzu na Fainali pia za Euro, Nahodha huyo wa Ureno anampiku Jon Dahl Tomasson wa Denmark, ambaye amestaafu soka ya kimataifa mwaka 2010
Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake jana dhidi ya Armenia
Bao la 23 la Ronaldo michuano ya Euro linalomfanya awe mchezaji aliyefunga zaidi kwenye michuano hiyo
| Jina | Nchi | MabaoMechi | |
|---|---|---|---|
| Cristiano Ronaldo (2004-) | Portugal | 23 | 37 |
| Jon Dahl Tomasson (1998–2007) | Denmark | 22 | 31 |
| Hakan Sukur (1994-2007) | Turkey | 22 | 38 |
| Robbie Keane (1998–) | Republic of Ireland | 21 | 42 |
| Davor Suker (1991-99) | Croatia | 20 | 22 |


.png)
0 comments:
Post a Comment