Mchezaji wa Colombia, Teofilo Gutierrez (nyuma) akipiga kichwa kuifungia timu yake bao la ushindi Uwanja wa Craven Cottage jana katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Marekani kwenye mchezo wa kirafiki. Jozy Altidore aliifungia Marekani bao la kuongoza kwa penalti dakika ya 10 kabla ya Carlos Bacca kuisawazishia Colombia kipindi cha pili.
Nyota wa Real Madrid na Colombia, James Rodriguez (kulia) akicheza mechi hiyo Uwanja wa Craven Cottage kipindi cha kwanza
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2835198/Colombia-2-1-USA-Teofilo-Gutierrez-scores-later-winner-Craven-Cottage.html#ixzz3J6JqurOf


.png)
0 comments:
Post a Comment