• HABARI MPYA

    Monday, August 11, 2014

    STEPHEN BENGO BADO WAMO, TENA WAMO SANA TU, UMONY...

    Kiungo wa KCC ya Uganda, Stephen Bengo akimtoka beki wa Telecom ya Djibouti katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Kagame leo Uwanja wa Amahoro mjini Kigali, Rwanda. Teleco ilishinda 2-1.
    Kiungo huyo wa zamani wa Yanga SC aliingia kipindi cha pili na kucheza soka maridadi
    Hata hivyo, Bengo alishindwa kuinsuru KCC na kipigo cha Wadjibouti leo
    Alitawala sehemu ya kiungo baada ya kuingia, lakini nafasi alizotengeneza hazikutumiwa vizuri na washambuliaji wa timu yake
    Mshambuliaji wa KCC, Brian Umony akiwa haamini macho yake baada ya kufungwa na timu dhaifu
    Umony alichezea Azam FC misimu miwili iliyopita

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STEPHEN BENGO BADO WAMO, TENA WAMO SANA TU, UMONY... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top