![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu akimtoka beki wa KMKM katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Kagame jioni ya leo Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda. Azam ilishinda 4-0. |
![]() |
| Beki wa KMKM akimvuta beki wa Azam, Shomary Kapombe kumpunguza kasi |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwafunga btela mabeki wa KMKM |
![]() |
| Beki wa KMKM, akimpunguza kasi mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche |
![]() |
| Kipre Tchetche alikuwa mwiba kwa mabeki wa KMKM leo |
![]() |
| Beki wa Azam FC, Aggrey Morris akigombea mpira wa juu dhidi ya wachezaji wa KMKM |
![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Leomel Saint-Preux akiwachambua mabeki wa KMKM |
![]() |
| Leonel Saint-Preux akimtoka beki wa KMKM |










.png)
0 comments:
Post a Comment