// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); LIVERPOOL YASAJILI SHAVU LA KULIA ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE LIVERPOOL YASAJILI SHAVU LA KULIA ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 06, 2014

    LIVERPOOL YASAJILI SHAVU LA KULIA ATLETICO MADRID

    KLABU ya Liverpool imetangaza kumsajili beki wa kulia wa Atletico Madrid, Javier Manquillo kwa mkopo.
    Beki huyo wa kulia atakwenda kugombea namba na Glen Johnson katika jitihada za kocha Brendan Rodgers kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya.
    Manquillo, ambaye ana umri wa miaka 20 tu, alitemwa na Real Madrid akiwa na umri wa miaka 14 tu, lakini tangu hapo amezichezea timu zote za taifa za vijana za Hispania kuanzia chini ya umri wa miaka 16 hadi miaka 20. 

    Mpiganaji mpya: Liverpool imetangaza kumsajili beki wa kulia wa Atletico Madrid, Javier Manquillo kwa mkopo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YASAJILI SHAVU LA KULIA ATLETICO MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top