Kama kizimbani; Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Clement Andrew Sanga akiomba radhi kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Kamati ya Mashindano ya Mapinduzi Cup jana kwa kutoshiriki kwa timu yake katika mashindano hayo kulikosababishwa na matatizo yaliyoshindwa kuepukika.
Hamna lolote, mmewakimbia Simba tu nyie; Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Clement Andrew Sanga akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni Kumi uliotolewa na Klabu ya Yanga kusaidia mashindano ya Kombe la Mapinduzi. Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Hamna lolote, mmewakimbia Simba tu nyie; Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Clement Andrew Sanga akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni Kumi uliotolewa na Klabu ya Yanga kusaidia mashindano ya Kombe la Mapinduzi. Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
0 comments:
Post a Comment