• HABARI MPYA

    Monday, January 27, 2014

    NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA

    KLABU ya Manchester City itamenyana na Arsenal katika Robo Fainali ya Kombe la FA wakati Chelsea itamenyana na Liverpool siku kadhaa kabla ya kumenyana na vigogo wa Ulaya, Barcelona na Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa.

    Changamoto: Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho atakuwa na kazi mbele ya Manchester City
    Last time: Fernando Torres' late goal gave Chelsea a 2-1 win against Manchester City in the Premier League this season
    Mara ya mwisho: Bao la dakika za mwishoni la Fernando Torres liliipa Chelsea ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England msimu uliopita
    Stunner: Aaron Ramsey scored a long-range effort in Arsenal's 2-0 win over Liverpool earlier this season
    Unakumbuka? Aaron Ramsey alifunga katika ushindi wa Arsenal wa 2-0 dhidi ya Liverpool mapema msimu huu

    ROBO FAINALI KOMBE LA FA 

    Manchester City v Chelsea
    Sheffield United or Fulham v Nottingham Forest au Preston
    Arsenal v Liverpool
    Brighton v Hull
    Cardiff v Wigan
    Sheffield Wednesday v Charlton
    Sunderland v Southampton
    Everton v Swansea
    Mechi zitachezwa wikiendi ya Februari 15, mwaka huu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NI CHELSEA NA MAN CITY, ARSENAL NA LIVERPOOL ROBO FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top