Kipa Shaaban Kado akiwaongoza wachezaji wenzake wa Coastal Union kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili kutoka Muscat, Oman walipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoanza keshokutwa.
Wananukia marashi ya Muscat
Coastal watacheza na JKT Oljoro Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi
Who will win title? The big prediction special
-
Will it be Manchester City or Arsenal for the Premier League title? BBC
Sport gets pundits, reporters and fans to predict each of their remaining
fixtures ...
0 comments:
Post a Comment