• HABARI MPYA

    Monday, July 01, 2013

    BRAZIL YAIKUNG'UTA HISPANIA 3-0 NA KUTWAA KOMBE LA MABARA USIKU HUU MARACANA

    Job done: Brazil's players lift the trophy after a sensational performance against the world champions Spain
    Shughuli imekamilika: Wachezaji wa Brazil wakiinua Kombe la Mabara baada ya kuwafunga mabingwa wa dunia, Hispania
    Say cheese: David Luiz poses with the trophy after the ceremony at the Maracana
    Sema hureee: David Luiz akiwa na Kombe baada ya sherehe Maracana
    Star of the show: Neymar lived up to his ever-growing reputation with a stunning show of his talents
    Nyota wa mchezo: Neymar ameanza kupata mafanikio kimataifa
    Not quite: Colombian singer Shakira was in Rio to watch her boyfriend Gerard Pique in action
    Mwimbaji wa Colombia, Shakira alikuwepo Rio kumuangalia mpenzi wake, Gerard Pique akiichezea Hispania

    IMEWEKWA JULAI 1, 2013 SAA 9:05 USIKU
    BRAZIL imetwaa Kombe la Mabara baada ya kuifunha Hispania mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Jornalista Mario Filho (Maracana)  mjini Rio de Janeiro, Brazil.
    Katika mchezo huo, mabingwa wa Dunia na Ulaya walipoteza mchezaji mmoja na pia wakashindwa kufunga kwa penalti.
    Shukrani kwao Fred aliyefunga mawili, la kwanza dakika ya pili na la tatu dakika ya 47 kwa pasi ya Hulk na Neymar aliyefunga la pili dakika ya 44 kwa pasi ya  Oscar.
    Dakika ya 68, Pique alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mchezaji mwenzake mpya wa Barcelona, Neymar.
    Dakika ya 54 Marcelo alimuangusha kwenye eneo la hatari Navas, lakini Sergio Ramos akakosa penalti baada ya mkwaju wake kuota mbawa.
    Kikosi cha Brazil kilikuwa: Julio Cesar; Dani Alves, Thiago Silva (capt), David Luiz, Marcelo; Oscar, Luiz Gustavo, Paulinho/Hernanes dk 88; Fred/Jo dk80, Neymar, Hulk/Jadson dk73.
    Hispania: Iker Casillas; Alvaro Arbeloa/Azpilicueta dk46, Gerard Pique, Sergio Ramos, Jordi Alba; Xavi, Sergio Busquets, Andres Iniesta; Juan Mata/Navas dk 52, Fernando Torres/Villa dk 59 na Pedro.
    Ovation: Fred is deservedly applauded off the pitch after a tireless performance
    Mkombozi: Fred amefunga mawili
    Neymar
    Pata picha itakuwaje Lionel Messi atakapoanza kucheza pamoja na Neymar 
    Cheerio: Gerard Pique is sent off for hacking down his future Barcelona team-mate.
    Kwaheri: Gerard Pique akionyeshwa kadi nyekundu baada ya kumuumiza Neymar aliyelala chini
    Wasted: Spain were gifted a penalty but Sergio Ramos hit it well widePenalti ya Sergio Ramos iliota mbawa
    Game over? Fred celebrates his second and Brazil's third
    Mechi imaisha? Fred akishangilia bao lake la pili na la tatu kwa Brazil
    Key moment: David Luiz clears off the line from a Pedro shot - a goal would have made it 2-1 to Brazil
    Kazi ya ziada: David Luiz aliokoa kwenye mstari wa goli shuti la Pedro, ambalo kama lingeingia ingekuwa 2-1
    Thump: Neymar hammers an unstoppable shot beyond Iker Casillas to make it 2-0
    Neymar akifumua kumtungua Iker Casillas na kufanya 2-0
    Neymar
    Neymar
    Jubilant: Neymar dives into the crowd to celebrate with fans inside the Maracana
    Shangwe tu: Neymar akiwarukia mashabiki Maracana
    Lucky boy: Alvaro Arbeloa should have been sent off for his challenge on Neymar - the pair was completely alone on the halfway line when the Real Madrid defender brought him down
    Kijana mwenye bahati: Alvaro Arbeloa angepewa kadi nyekundu kwa rafu aliyomchezea Neymar - wachezaji hao walikuwa peke yao wakati wa mapumzi beki huyo wa Real Madrid alipomuangusha mwenzake
    Clashes: Police fire tear gas at protesters outside the Maracana
    FFU wa Brazil: Polisi wa kutuliza ghasia wakipuliza gesi ya moto kudhibiti fujo nje ya Uwanja wa Maracana
    Bundled: Fred scores for the hosts
    Fred akifunga
    Early lead: Fred scores after just two minutes following some terrible defending by Spain
    Fred alifunga dakika ya pili tu bao la kwanza
    Great start: Fred celebrates with Neymar
    Mwanzo mzuri: Fred akishangilia na Neymar
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BRAZIL YAIKUNG'UTA HISPANIA 3-0 NA KUTWAA KOMBE LA MABARA USIKU HUU MARACANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top