Kocha wa Singida United, Mholanzi Hans van der Pluijm akiwa na wasaidizi wake kwenye ofisi za wadhamini wakuu wa klabu hiyo, kampuni ya SportPesa zilizopo Oysterbay, Dar es Salaam walipofika jana kwa ziara ya kujionea yanayoendelea hapo
Wachezaji wa Singida United wakisikiliza kwa makini moja ya hotuba za viongozi wa SportPesa
Wachezaji wa Singida United katika ukumbi wa mikutano wa SportPesa jana
Hapa ni katika picha ya pamoja wachezaji na viongozi wa Singida United na Maofisa wa SportPesa
Na hapa ni wakati wanawasili kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizopo kando kando mwa Bahari ya Hindi
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment