Kocha wa Singida United, Mholanzi Hans van der Pluijm akiwa na wasaidizi wake kwenye ofisi za wadhamini wakuu wa klabu hiyo, kampuni ya SportPesa zilizopo Oysterbay, Dar es Salaam walipofika jana kwa ziara ya kujionea yanayoendelea hapo
Wachezaji wa Singida United wakisikiliza kwa makini moja ya hotuba za viongozi wa SportPesa
Wachezaji wa Singida United katika ukumbi wa mikutano wa SportPesa jana
Hapa ni katika picha ya pamoja wachezaji na viongozi wa Singida United na Maofisa wa SportPesa
Na hapa ni wakati wanawasili kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizopo kando kando mwa Bahari ya Hindi
Burnley need a miracle to avoid a quick return to the Championship after
4-1 home defeat by Newcastle, writes RICHARD TANNER
-
RICHARD TANNER AT TURF MOOR: Eddie Howe's team stepped up their bid for
another season of European football - while pushing Vincent Kompany's
Clarets close...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment