• HABARI MPYA

    Friday, September 08, 2017

    BEKI BOURNEMOUTH ASHINDA BAO BORA LA MWEZI ENGLAND

    Beki wa Bournemouth, Charlie Daniels akiwa ameshika tuzo ya Bao Bora la Mwezi Ligi Kuu ya England leo baada ya kukabidhiwa kufuatia bao lake alilofunga katika mechi dhidi ya Manchester City kumpa ushindi huo kwa Agosti. Beki huyo wa kushoto pia amesherehekea kutimiza miaka 31 kwa kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI BOURNEMOUTH ASHINDA BAO BORA LA MWEZI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top