Beki wa Bournemouth, Charlie Daniels akiwa ameshika tuzo ya Bao Bora la Mwezi Ligi Kuu ya England leo baada ya kukabidhiwa kufuatia bao lake alilofunga katika mechi dhidi ya Manchester City kumpa ushindi huo kwa Agosti. Beki huyo wa kushoto pia amesherehekea kutimiza miaka 31 kwa kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star Billy Richmond Commits to Arkansas After John Calipari's
Kentucky Exit
-
After leaving Kentucky to become the new head men's basketball coach at
Arkansas, John Calipari has reportedly succeeded in getting a major recruit
to flip…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment