Beki wa Bournemouth, Charlie Daniels akiwa ameshika tuzo ya Bao Bora la Mwezi Ligi Kuu ya England leo baada ya kukabidhiwa kufuatia bao lake alilofunga katika mechi dhidi ya Manchester City kumpa ushindi huo kwa Agosti. Beki huyo wa kushoto pia amesherehekea kutimiza miaka 31 kwa kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A Golden Boot race for the ages - but who will come out on top?
-
It is fast turning into a Golden Boot race for the ages as the world's best
strikers star at the World Cup. But who will come out on top?
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment