Beki wa Bournemouth, Charlie Daniels akiwa ameshika tuzo ya Bao Bora la Mwezi Ligi Kuu ya England leo baada ya kukabidhiwa kufuatia bao lake alilofunga katika mechi dhidi ya Manchester City kumpa ushindi huo kwa Agosti. Beki huyo wa kushoto pia amesherehekea kutimiza miaka 31 kwa kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment