Beki wa Bournemouth, Charlie Daniels akiwa ameshika tuzo ya Bao Bora la Mwezi Ligi Kuu ya England leo baada ya kukabidhiwa kufuatia bao lake alilofunga katika mechi dhidi ya Manchester City kumpa ushindi huo kwa Agosti. Beki huyo wa kushoto pia amesherehekea kutimiza miaka 31 kwa kusaini mkataba mpya wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Winter Olympics Opening Ceremony LIVE: Snoop Dogg and Usher arrive in Italy
ahead of showstopping performance from Mariah Carey and Andrea Bocelli
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for coverage of the Winter Olympics
opening ceremony in Milan ahead of the start of the Games.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment