Son Heung-Min akifurahia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 41, 54 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Millwall katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 31, Dele Alli dakika ya 72 na Vincent Janssen dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We have put the first leg aside – Dreams FC coach Karim Zito ahead of
Zamalek clash
-
Dreams FC coach Karim Zito expresses determination to move past the outcome
of the first leg as they gear up for their crucial clash against Zamalek in
the...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment