Son Heung-Min akifurahia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 41, 54 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Millwall katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 31, Dele Alli dakika ya 72 na Vincent Janssen dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aberdeen's top-flight status is at serious risk if this managerial debacle
doesn't get sorted out
-
The task of trying to defend the Scottish Cup was Aberdeen's last hope of
salvaging a truly dreadful season.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment