Son Heung-Min akifurahia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 41, 54 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Millwall katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 31, Dele Alli dakika ya 72 na Vincent Janssen dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Death Toll Rises After Philippines Building Collapse
-
Rescue crews in the Philippines have pulled more victims from the rubble of
a collapsed building under construction, raising the death toll to three
while ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment