Son Heung-Min akifurahia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 41, 54 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Millwall katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Christian Eriksen dakika ya 31, Dele Alli dakika ya 72 na Vincent Janssen dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Stupid rumours' need to stop - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says the "stupid rumours’ about his
future need to end but admitted that he does not know if he and his staff
will be a...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment