Emre Can akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Liverpool dakika ya 61 ikiilaza 2-1 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Burnley walitangulia kwa bao la Ashley Barnes dakika ya saba, kabla ya Georginio Wijnaldum kuisawazishia Liveropool dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump will welcome Iran at World Cup - Infantino
-
US President Donald Trump has said Iran are "welcome" to take part in this
summer's World Cup despite the countries being at war, according to Fifa
preside...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment