Lionel Messi (kulia) akimtoka beki wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Deportivo La Coruna imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joselu dakika ya 40 na Álex Bergantiños dakika ya 74, wakati la Barca lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Iheanacho keen on Celtic stay but Saracchi talks stall' - gossip
-
Nigeria striker Kelechi Iheanacho has confirmed that he wants to stay with
Celtic, who have the option to extend the 29-year-old's deal by a further
12 mon...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment