Lionel Messi (kulia) akimtoka beki wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Deportivo La Coruna imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joselu dakika ya 40 na Álex Bergantiños dakika ya 74, wakati la Barca lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers Rumors: HC Darvin Ham Expected to Be Fired After NBA Playoff Loss to
Nuggets
-
The future for Darvin Ham as head coach of the Los Angeles Lakers doesn't
look good in the wake of the team's first-round playoff loss to the Denver
Nuggets…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment