// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA SC YAWAPIGA TP MAZEMBE 1-0 NA PALE PALE LUBUMBASHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA SC YAWAPIGA TP MAZEMBE 1-0 NA PALE PALE LUBUMBASHI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
YANGA SC YAWAPIGA TP MAZEMBE 1-0 NA PALE PALE LUBUMBASHI
BAO pekee la Farid Mussa dakika ya 63 limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa TP Mazembe Jijini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Yanga SC inamaliza na pointi 13, ikiendelea kuongoza mbele ya Monastir ya Tunisia yenye pointi 10 ambayo baadaye usiku itamenyana na Real Bamako Jijini Tunis. Kama Monastir watashinda kwa wastani wa zaidi ya mabao matatu basi wataongoza kundi hilo dhidi ya wana Robo Fainali wenzao, Yanga SC.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment