MABAO ya Joe Willock dakika ya 65 na Callum Wilson dakika ya 88 yameipa Newcastle United ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. James' Park, Newcastle upon Tyne.
Kwa ushindi huo, Newcastle United inafikisha pointi 50 na kupanda nafasi ya tatu ikiizidi wastani wa mabao tu Manchester United inayohamia ‘Mtaa wa Nne’ baada ya wote kucheza mechi 27.
0 comments:
Post a Comment