
WENYEJI, Manchester City wameitandika Liverpool mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
Mabao ya Manchester City yamefungwa na Julian Alvarez dakika ya 27, Kevin De Bruyne dakika ya 46, Ilkay Gundogan dakika ya 53 na Jack Grealish dakika ya 74, wakati la Liverpool limefungwa na Mohamed Salah dakika ya 17.
Manchester City inafikisha pointi 64 katika mchezo wa 28, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi nane na Arsenal ambayo pia imecheza mechi moja zaidi, wakati Liverpool inabaki na pointi 42 za mechi 27 nafasi ya nane.
Kwa upande wao Liverpool baada ya kichapo cha leo wanabaki na pointi zao 42 za mechi 26 nafasi ya sita.
Toto Wolff makes shock Epstein reference as he launches foul-mouthed rant
amid fresh Mercedes controversy
-
Toto Wolff has hit back at critics of Mercedes ahead of the new F1 season
2 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment